Saturday, November 17, 2012

NEW ORGANIZATION or ASSOCIATION IS COMING!

Nikiwa kama kiongoz wa organization hii ambayo teari imeshapikwa iko njian kwa ajili ya wanawake na maendeleo..

AWPC ASSOCIATION

Araizing Woman in Power and Confidence Association

Itahusiana na ishu za kijamii kuhusu wanawake kwa ujumla na watoto, ni muhimu kujitambua na kujiamini kama tunawezaaa!

Sikuzote maendeleo huletwa na juhudi, kujitambua, kujiamini, kujipenda na kujali wengine pia katika maendeleo yako ilikufika mbali..

kwaufupi tu, ndio hayo yaliopo kwasasa!

Soon ntawaletea zaidi nini kinaendelea kuhusu 

AWPC ASSOCIATION.
The LuLu


HALIMA'S NIGHT 
Was nice, watu walipendeza sanaaaa..

Sendoff hii walitumia colour combo, zilivutia vibaya mnoo wala sikutegemea kama itambendeza kiasi hiki...

Lets see then!!!!!!

What a beautiful bride jaman, black n fabulous!

sichoki kumtazama unajua..


wowww colour combo yeahhh


mie tena, mi na shost wangu...

waarab kutoka dubai ndaniii, nimependa sana!!

mashallah!!1 sina usemi ila ilipendeza..

Mr and Mrs Kassim


jamani harisaaa  jicho hilo, ur lookin amaizin my sister!!
Aminia sana, mwanamke kujiamini..

kuwa na wadada wengi rahaaa..


mmmh jamaniii..


mmmh harisah, mwanamke kujiamini...

jamani marafiki hawakua nyuma, love you jack

my brother Twaha


jamani my dada mmmh mungu akuzidishie myyy


zenaice mwaaa






mc alikua vizuri sana, anajua looh

Dr. family sisemi mimi..


team blue ilikua shida kidogo kuwapata maaana..

mi tena, na ma maids

happy maids


Nimependa kila kitu kwenye shughuli hii, God bless mimah n her husband jamani nawapenda sana!!

NDOA: Nyumban Daima Omba Aman...






























LOVELY SISTER'S KITCHEN PARTY
HALIMA SALIM
AT MAKUMBUSHO  POSTA

This was a enjoyable day with green sister's, mimi ilinibamba kwakweli na niliipenda sanaa!!

Halima alipendeza kila mtu alimshangaaa kwakweli..


halima was lookin standing n beautiful, mi love ur  dress sanaa...
black beauty huyoo



Sikua nyuma mwenzenu hivyooooo


Hapo chacha lulu mwenyeweeee

Jaman ilipendeza na watu walipendeza mbonaaa


green girls mmmh


jaman mtu mama yake huyooo
mama mzaa chema!!!

harisa aliingia kwa furaha na shangwe, shughuli kusherehekea mwenzang..
furaha kila pembeee, lulu mie!!!


green is a nice colour

Dada langu la ukweli....
myyyyy halima mkubwa pendeza wewe!!!


jamani mi sisemiiii









Friday, November 16, 2012

PEOPLE L MISSED U VERY MUCH

seriously nilikua busy sana hadi nakosa mda hata wakuwahuku na nyinyi bt now niko poa sasa tunaweza badilishana mawazo ya hapa na pale kwakweli! 

nataka niwaonyeshe kitu niwaambie kilichokua kinanifanya nikose mda kabisaaa

Firstly shule imeanza jamani, na imekua ngumu balaa kila kukicha ubize kwenda mbeleeee, ila inshallah mwenyezi mungu atupe uzima na afya tumalize salama.

Secondly wowww, wedding of my lovely sis halima ni kitu ambacho kilikua kinakula mda kupitiliza na pia furaha ambazo nilikua nazo...

Lastly bt not list is my family,friends, n my ...... was also keepin me busy a bit...

bt now am back with you people!!!!
I LOVE YOU ALL! 

Tuesday, October 2, 2012

A BABY SOON IS GOING TO BE BORN 
HULALAAAAAAA!

Happy Family

I have to be a happy girl always coz everyday l see myself in a safe n lovely family.
Not a kid anymore but going to be A lady now, should be very proud n thank god for everything!!!!!!!!

wooow when l set my eyes on this photo cant stop remembering my family.
ahsante sanaaa mama na baba lulu kwakunifikisha hapa niliposinachakuwalipa hata nikaona kimeniridhisha yaani mungu mwenyewe ndio atawalipia....

4th october hiyo hapo mbele yangu naiona na nafurahi pia kuzaliwa siku moja na mama yangu mzazi, its funny!!!!

COME ON HOLAAAAA WITH ME ON MYA DATE....


always rembering my sister!

mmmh having big time with lovely sisters like this its always making me be strong!!!!
jamani sio siri natamani wakati wote tuwekaribu, ila no means..
haka kahandsome boy huwanakiita boboooo means boyboy eti nayeye ananiita mimi bobooo so lovely, anaonyesha simu yake ili asaidiwe picha ipigwe laaah

napenda kudeka mie looh

laaah hadi raha, nakupenda sana dadangu always ur in my heart mi naomba nikuite wewe komando yani kama kuwa mke wa mtu kweli unafaaa!
najua we mwenyewe this day ulikua umechoka sana lakini hukujali hilo ulitulia tu nikulalie!!!
my boboooooooooo wapi weweee!
mdogo when am going to be really lady now haahaaaa raha
majukumu yanazidi sasa hatari unajua...


hii siwez sahau kabisa!
lulu, saida n mwanahawa

wadogo zangu jamani nawapenda sanaaa,
mwanamke kujistiriiiii..
nimewamisije?????

jaman cant wait on my day nitaawambia kinachoendea!!!
see me on twitter n facebook
love u all!!!

Monday, September 17, 2012

TOTO'S  IN ISLAMIC WEAR
Kwakweli mimi nimeadmire sana, she is my role modal!!!!!!!

Koku Muzo..

Busy reading mas-haf!!!


Wowwwww amaizing haaa!

A girl like this makes your heart baridi kila saa unatamani kumtizama tuuuuu!!!
Inshallah mwenyez mungu amkuze..